MOTO WA MIANZI MAUDHUI SWALI: Chambua Maudhui ya Riwaya ya Moto wa Mianzi Historia fupi ya Mwandishi na utunzi wa kazi yake : RIWAYA YA MOTO WA MIANZI; ni riwaya iliyoandikwa na mwandishi aitwaye Mugyabuso Mulokozi. Alizaliwa tarehe 7 Juni mwaka 1950. Mugyabuso Mulokozi ni muhadhiri katika chuo kikuu cha Dar es Salaam. Mwandishi huyu pia ameweza kuandika kazi mbalimbali. Baadhi ya kazi zake ni: · Mashairi ya kisasa aliyoandika kwa kushirikiana na K.K Kahigi. · Malenga wa Bara aliyoandika pamoja na K.K Kahigi · Mukwava wa Uhehe · Kunga za Ushairi na Diwani yetu aliyoandika pamoja na K.K Kahigi · Ngome ya Mianzi · Ngoma ya Mian...